SAHAU ishu ya ndoa yake na Hamisa Mobetto. Achana na kitendo cha kusamehe fungate la ndoa na kukipiga katika mechi za Ligi ...
UNAWEZA kusema Yanga Princess chini ya kocha Edna Lena ‘ Mourinho’ imeanza kujipata kutokana na muendelezo na ubora ...
MARA nyingi maamuzi ya kisiasa huwa ni ya kuangaliana usoni na si kuangalia suala la msingi linalotakiwa litafutiwe ufumbuzi.
MSHAMBULIAJI wa Fountain Gate, Mudrik Abdi Shehe ‘Gonda’ amesema licha ya kutoanza vizuri hadi sasa katika timu hiyo michezo ...
KAMA ni kuteswa kwa mapenzi kwa baadhi ya wasanii wa Bongo, basi ni kipindi hiki cha mfungo wa mwezi wa Ramadhani ambao ...
Daktari wa klabu ya Pamba Jiji, Joseph Chacha amesema wachezaji wako sawa kiafya baada ya ajali ya gari iliyotokea leo mkoani ...
NAMNA ambavyo shabiki mmoja na wenzake wamejibana katika Coaster la kutoka Simiyu kuja Dar es Salaam kutazama pambano ...
KOCHA Mkuu wa TMA FC ya jijini Arusha, Mohamed Ismail 'Laizer', amesema moja ya changamoto kubwa kwenye kikosi hicho ni ...
ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa TMA, Maka Mwalwisi amerejea kukifundisha kikosi cha Mbeya Kwanza katika michezo iliyobakia, akichukua ...
MSHAMBULIAJI wa Songea United, Cyprian Kipenye amesema anajisikia vibaya kutokana na ukame wa mabao unaomwandama katika ...
WAIMBAJI wa Bongofleva, Abigail Chams na Harmonize wanaendeleza ushirikiano wao wa kikazi wa muda mrefu na sasa wamekuja na ...
Ukiachana na uwezo wake kimuziki, wengi wanamuheshimu Alikiba kutokana na kuweza kuendelea kuwepo katika muziki tena akifanya ...